Monday, 12 February 2018

AINA ZA MUZIKI




Kuna aina nyingi sana za muziki duniani, aina hizi huweza kutofautiana toka tamaduni moja na nyingine, pia aina ya ala zitumikazo na mpangilio wake  katika upigaji huleta tofauti kubwa na kutambulisha aina Fulani ya muziki.

Mfano watu wa Afrika magharibi (kongo DRC) hutambulika kwa mziki wa Sebene “bolingo’, rhumba, sokusi. Watu wa Latin Amerika; Mexico, Brazil, Colombia hutambulika kwa muziki wa chalanga (salsa), samba. 

Nchi kama Jamaica wao hujulikana kwa muziki wa rege. Hivyo kuna aina nyingi tu za muziki hapa nitataja kwa uchache tu;  Jazzy, Blues, Rock, Classic, Zouk, Rhumba, Reggae, Country, Old school, n.k

Kama una maswali au mchango wowote waweza changia hapo kwenye kibox chini. Endelela kuwa nasi na Mungu akubariki sana. 

Sephone Sospeter.

5 comments:

  1. Asante Mtumishi wa Mungu. Sasa kibarua kinakuja "najuaje kama hii ni chalanga, sokusi, rock au country"?

    ReplyDelete
  2. TUnashukuru kwa uelimishaji lakin tunawezaje kuzitofautisha hizo aina yan kuzijua

    ReplyDelete
  3. Mziki wa Tanzania ujulikanao kama bongo fleva niaina gani ya radha katika mziki

    ReplyDelete
  4. nimekubali hii ki2..ila nawezaje kutambua huu mziki unapigwa ni aina fulan??

    ReplyDelete
  5. Naomba kujua mziki aina ya kwele

    ReplyDelete